Wanyeji wa Bungoma wamemkemea Gavana wa Jimbo hilo Kenneth Makelo Lusaka. Katika maoni waliyotoa mtandaoni, wananchi wamempaka samli ya ufisadi gavana huyo ayehudumia muhula wake wa mwisho kama gavana. Lusaka amekashifiwa kwa hatua yake ya kufutilia mbali mpango wa scholarship ulianzishwa na mtangulizi wake Wafula Wangamati. Miongoni mwa maovu anayodaiwa kutekeleza katika hatamu yake hii ya mwisho ni pamoja na :
Barabara duni
Hali mbaya katika zahanati nyingi kwenye eneo gatuzi la Bungoma.
Ufisadi uliokithiri
Lusaka amekumbushwa kuhusu kashifa ya bero "Wheelbarrow" iliyomwandamwa katika awamu yake ya awali, wengi wakimtaja kuwa Tatizo sugu ambalo lililimbikiziwa watu wa Bungoma na Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetangula. Haya hapa baadhi ya maoni ya watu.
Kevin Zimiu "Governor umesahau wheelbarrow scandal😂😂😂 mimi sioni maendeleo as ni kama ulikam ukule chenye ulipakisha. Major ako sawa omukosi"
Patrick Namaswa "Mheshimiwa, oli ukaamua kulima yeye likuma liemungoro yitaa ?
But truth be told, why are you defending yourself?
Can you look straight into the eyes of an ecde trained teacher and tell him or her that your county exist in terms offering employment?
A farmer and tell them you really care?
Dispensaries and say you exist?
Roads and say you're the father of th
e county, water, this is just to mention but a few. Enywe ta wase!"
Caroline Chazima " This man's first development move was to remove all students who his predecessor had made beneficiaries of the county education scholarship scheme.dies he think the parents and students who were wounded by him clap their hands when engages with his colleague.Lisaka, you have let us down Which road do you use from Bungoma to kamukuywa,from bgm to kamukuywa through webuye or chwele Kimilili.Ever imagined the trauma the pple along Kimilili,khachonge are going through.Lusaka,we need tangible change.."
Chris Wekesa " You're the mistake wetangula did to Bungoma. Honestly is there any tangible thing you can show since you assumed office. Waluke has spoken my mind. you silenced senator wakoli when he claims about 25 million squandered during beautification of Bungoma town. You're a true description of corruption. I thank waluke for standing in as a senator"
Mukeni Mukeni "When it comes to theft sorry sir we don't have respect and decoram what we want is accountability & transparent to the people of bungoma. Kanduyi stadium 🏟️ is being funded by national government"
Suez Sindani "Wanaitaga wateva calling the kettle or sufuria black,so absurd,bring a screenshot of how you bought a wheel barrow @109,000 you're all corrupt"
No comments:
Post a Comment